iqna

IQNA

Mtume wa Uislamu
Sura za Qur'ani Tukufu /11
TEHRAN (IQNA) – Pamoja na aya zinazozungumzia rehema ya Mwenyezi Mungu, kuna aya katika Qur’ani Tukufu zinazozungumzia uadilifu wa Mwenyezi Mungu na jinsi wakandamizaji na madhalimu wanavyoadhibiwa. Baadhi ya aya kama hizo zimo katika Surah Hud.
Habari ID: 3475397    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/19

Qur'ani na kutafakari
TEHRAN (IQNA)- Wito wa kutafakri ni miongoni mwa mawaidha mazito katika dini ya Kiislamu na ni ya thamani na muhimu sana kiasi kwamba Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Saa ya kufikiri ina thamani zaidi kuliko miaka 60 ya ibada bila kufikiri”.
Habari ID: 3475309    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30